VIDEO: Masanja akitoa adhabu kwa wanaochelewa kuoa, kaanza na MC pilipili

MATANGAZO

MATANGAZO
Mchekeshaji kutoka kwenye kundi la Original Komedi, Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji ambae August 14 2016 alifunga ndoa na mchumba wake aitwae Monica ameifanya hiki kichekesho kifupi akiwa na MC pilipili akitoa adhabu kwa wanaochelewa kuoa.

==> Tazama video hapo chini