Mbowe 'Serikali Inaonekana Haina Huhakika nini Kinaendelea Katika Uchumi'

MATANGAZO

MATANGAZO


Mbowe amefunfuka haya kwenye ukurasa wake wa instagram:

,"Kwa sasa hali ya uchumi inaonekana kuyumba na biashara kudorora,
Nimeitaka Serikali itoe twakimu kuhusu uchumi kushuka. Waziri Mkuu amesema kwa sasa hawana uhakika na hawana takwimu kuhusu hali ya uchumi kudorora na kudai kuwa watakaa na wadau mbalimbali wa Uchumi ili kujua kama uchumi umeyumba kweli.

Swali langu lingine la nyongeza nimemuuliza Waziri Mkuu, Kwa kuwa Kamati ya Bunge ilienda bandarini na kuthibitisha kuwa mizigo imepungua na wadau ambao Serikali inasema itawashirikisha, wenyewe pia wanalalamika kuhusu hali mbaya ya uchumi kwna sasa;Hoteli zimefungwa, Kampuni zimefungwa, watalii wamepungua na Serikali inaonyesha kuwa haina uhakika na nini kinaendelea,

Je ni Serikali imeshindwa kuendesha nchi?"