Sallam, Meneja wa Diamond Kuja na Kituo Chake Cha Redio Posted by: jungukuuleo Date: 4:17:00 AM WASANII MATANGAZO MATANGAZO Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam anatarajia kuanzisha redio yake ya mtandaoni (online radio).Taarifa hiyo ilitolewa na Romy Jons, anayedai atakuwa mmoja wa watangazaji wa redio hiyo itakayojulikana kama DSM FM. Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus
No comments:
Post a Comment