Jokate: Wanawake Tusikatishwe Tamaa na vitu Vidogo

MATANGAZO

MATANGAZO
Kidoti kwa sasa anaendelea kupanua biashara zake kwenye nchi za Afrika Mashariki ambako kwa kuanzia wikiendi hii alikuwa jijini Kigali akiangalia fursa za kufanya biashara nchini humo.

“Wanawake tumeumbiwa kuwa na uvumilivu sana na upendo sana,” ameandika Jokate kwenye mtandao wake wa Instagram. Mungu atupe wepesi kwenye shughuli zetu, tusikatishwe tamaa na vitu vidogo. Tuseme Amen. Amen.”

Jokate ni miongoni mwa mastaa wachache wa hapa Bongo wanaoingiza fedha kutokana na biashara zao.