Huenda Idris Elba Akawa James Bond Mpya

MATANGAZO

MATANGAZO
Idris Elba ni miongoni mwa majina yaliyoingia kwenye orodha ya mwisho ya waigizaji wanaotazamiwa kuchukua nafasi ya James Bond, mpya.

Muigizaji huyo, 43, ametangazwa kuwa mmoja wa waigizaji wanaoweza kuchukua nafasi ya Daniel Craig anayetaka kujiondoa.

Chanzo kimoja kimeliambia gazeti la The Sun:

To get anyone to take over from Daniel will be a tough job. There will be a lot of trepidation about a new Bond, but Idris’ talent and proven appeal gives executives a lot of heart. Idris may be a little older than the other candidates but he looks like he is still in his 30s. MGM are confident that they are in a pretty strong place with a raft of talent available.

Wengine walioingia kwenye orodha hiyo ni pamoja na Aidan Turner, Luke Evans, na Tom Hiddleston.